Luke 9:45
45 aLakini wao hawakuelewa alimaanisha nini. Maana ya maneno hayo ilifichika kwao, hivyo hawakuyaelewa, nao wakaogopa kumuuliza maana yake.Ni Nani Atakayekuwa Mkubwa Kuliko Wote
(Mathayo 18:1-5; Marko 9:33-37)
Copyright information for
SwhKC